Luke 24:50-51

Kupaa Kwa Yesu Mbinguni

(Marko 16:19-20; Matendo 1:9-11)

50 aAkiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki. 51 bAlipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Copyright information for SwhNEN